TAG Southern Bible College P.O. Box 165, Mbeya (+255)715-865-880 tagsbc@gmail.com

Karibu TAG Southern Bible College

Historia ya TAG SBC

Chuo cha Biblia Mbeya ambacho kwa sasa kinaitwa Southern Bible College ndicho chuo cha kwanza kuanzishwa katika kanisa la Tanzania Assemblies of God. Kilianzishwa na Mmishenari Wesley Hurst mwaka 1954.

Soma Zaidi

Kozi Tunazozitoa

Huduma ya walimu wa watoto

Astashahada ya walimu wa watoto na shule ya awali imelenga kuwaandaa watumishi kwa ajili ya kufundisha watoto makanisani na pia katika shule za awali.

Soma zaidi

Thelojia na Biblia

Shahada hii hutolewa muda wa jioni na kwa ushirikiano wa Chuo Kikuu cha Global University.

Soma zaidi

Huduma na Biblia

Stashahada ya Huduma na Biblia hutolewa kwa miaka 2 kwa waliopita chuo cha kupanda makanisa na miaka 3 kwa wasiopita chuo cha kupanda makanisa

Soma zaidi

Kompyuta

Chuo kinatoa kozi ya kompyuta kwa muda wa miezi 3.

Soma zaidi

Uongozi wa Chuo

Rev. Charles Kingu

BA The, MDiv.
Mkuu wa Chuo

Rev. Salustian Mkangala

Adv. Dip. The, BA Theo. MA Psychology
Mkuu wa Taaluma

Rev. Eugine Sinkamba

Dip. Theo, BA Theo.
Msajili wa Chuo

Mch. Mary Mapunda

Dip. Theo, BA Theo.
Meneja Shughuli

Rev. Richard Mhilu

Dip. Theo. BA Theol.
Mshauri wa Wanafunzi

Rev. Aloyce Rubondo

Adv. Dip. Children ministry Dip. Theo
Mratibu Huduma ya Mtoto